Pichaz za waziri Magufuli akisimamia ujenzi wa daraja la Dumila lililosombwa na maji.
Kusombwa na maji kwa daraja hilo kumesababisha magari kutopita kwa yale yalitoka upande wa Dodoma na Morogoro,Kwa barabara hii hakuna njia nyingine mbadala zaidi ya hiyo.
0 comments: