contributor

Pichaz za waziri Magufuli akisimamia ujenzi wa daraja la Dumila lililosombwa na maji.



Unaambiwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli amepiga kambi mkoani Morogoro ili kuusimamia  ujenzi wa Daraja la Dumila ambalo ni kiunganishi  cha barabara ya Dodoma – Morogoro ambalo lililosombwa na mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia January 22 2014.

Kusombwa na maji kwa daraja hilo kumesababisha magari kutopita kwa yale yalitoka upande wa Dodoma na Morogoro,Kwa barabara hii hakuna njia nyingine mbadala zaidi ya hiyo.





0 comments:

Find us on facebook