contributor

Pichaz za waziri Magufuli akisimamia ujenzi wa daraja la Dumila lililosombwa na maji.



Unaambiwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli amepiga kambi mkoani Morogoro ili kuusimamia  ujenzi wa Daraja la Dumila ambalo ni kiunganishi  cha barabara ya Dodoma – Morogoro ambalo lililosombwa na mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia January 22 2014.

Kusombwa na maji kwa daraja hilo kumesababisha magari kutopita kwa yale yalitoka upande wa Dodoma na Morogoro,Kwa barabara hii hakuna njia nyingine mbadala zaidi ya hiyo.





0 comments:

FIFA yaionya Brazil


Shiriksho la mchezo wa soka duniani FIFA, limetoa onyo kwa utawala nchini Brazil, kuwa mji wa kusini wa Curitiba huenda ukaondolewa miongoni mwa miji itakayoandaa fainali ya kombe la dunia, kutokana na kuchelewesha kwa shughuli za ujenzi.
Katibu Mkuu wa FIFA, Jerome Valcke, amesema kuwa ukarabati katika uwanja huo unaendelea kwa mwendo wa pole sana.
Ametaja suala hilo kama la muhimu na kuwa FIFA itatangaza katika kipindi cha mwezi mmoja ujao ikiwa mji huo wa Curitiba utasalia kama moja ya miji itakayokuwa mwenyeji wa fainali hizo.
Huku ikiwa imesalia chini ya miezi mitano kabla ya fainali hizo kuanza viwanja sita kati ya kumi na mbili vinavyohitajika vimekamilika.

0 comments:

Real Madrid klabu tajiri zaidi duniani


Klabu ya Real Madrid imehifadhi taji la kuwa klabu tajiri zaidi duniani kwa msimu wa tisa mfululizo, kuambatana na orodha ya vilabu tajiri iliyochapishwa na kampuni ya uhasibu ya Deloitte.
Klabu nyingine ya Uhispania, Barcelona inashilikia nafasi ya pili ikifuatwa na Bayern Munich ya Ujerumani, katika nafasi ya pili na tatu mtawalia.
Kwa mara ya kwanza klabu ya Manchester United ambayo kwa sasa imekabiliwa na msururu wa matokea mabaya katika ligi kuu ya Premier ya England, imeshushwa miongoni mwa vilabu tatu tajiri zaidi duniani kwa mara ya kwanza kwa zaidi ya miaka kumi na saba iliyopita.
Waandishi wa habari wanasema kuwa ligi ya vilabu vingi kuzalisha kiasi kikubwa cha fedha, nyingi ya vilabu hivyo vinaendelea kupata hasara kubwa kutokana na gharama za mishahara na malipo ya usajili wa wachezaji.

0 comments:

Mata asajiliwa na Manchester United


Ombi la Manchster United la kutaka kumsajili nyota wa Chelsea Juan Matata limekubalika.
Ripoti zinasema United imetumia takriban kitita cha pauni milioni 37 kumsajili mcheza kiungo huyo wa Chelsea.Mata mwenye umri wa miaka 25, anatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa kimatibabu baadaye hii leo, kabla ya kukamilisha usajili huo.
Mchezaji huyo kutoka Uhispania anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka minne na nusu na klabu hiyo iliyo na makao yake katika uwanja wa Old Trafford.
Mata ambaye aliichezea Chelsea, mechi 32, aliwaaga wachezaji wenzake na wakufunzi wa Chelsea katika uwanja wao wa mazoezi wa Cobham siku ya Jumatano.

Manchester United yakana fununu

Awali kulikuwa na fununu kuwa Mata mwenye umri wa miaka ishirini na mitano, alitaka kuondoka kutoka Chelsea, baada ya kushinda kupata nafasi miongoni mwa wachezaji wa kwanza kumi na mmoja wa Chelsea, chini ya kocha wao mpya Jose Mourinho.
Siku ya Jumanne, Chelsea ilitangaza kuwa hawana nia yoyote ya kumuuza nyota wake Mata, ambaye aliteuliwa kuwa mchezaji bora wa klabu hiyo mwaka uliopita.
Lakini mchezaji huyo ambaye alikuwa kikosi cha Uhispania kilichoshinda kombe la dunia mwaka wa 2012, aliondolewa katika mechi tisa kati ya kumi na tatu alizocheza za ligi kuu ya premier msimu huu, hali iliyozua fununu kuwa huenda akauzwa mwezi huu wa Januari.
Kwingineko klabu ya Cardif inatarajia kumsaini mchezaji wa Manchester United Wilfred Saha kwa mkopo hadi mwisho wa msimu huu.
Zaha mwenye umri wa miaka ishirini na moja alifanyiwa uchunguzi wa matibabu siku ya Jumatano na Cardiff inataka kukamilisha usajili huo kabla ya mechi yao ya raundi ya nne ya kuwania kombe la FA dhidi ya Bolton.


0 comments:

Chelsea yamsajili Mohamed Salah


Chelsea imemsajili mcheza kiungo wa timu ya taifa ya Misri, Mohamed Salah, kutoka kwa Basel ya Uswisi kwa kitita cha pauni milioni kumi na moja.
Salah mwenye umri wa miaka 21, anatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa kimatibabu na pia kujadiliana kuhusu mshahara wake kabla ya kuhamia uwanja wa Stamford Bridge.
Mahasimu wa Chelsea katika ligi kuu ya Premier, Liverpool walikuwa wameanzisha mazungumzo na klabu hiyo ya Basel, kutaka kumsajili mchezaji huyo.
Siku ya Jumatano, Chelsea ilikubali kumuuza Juan Mata, kwa Kalbu ya Manchester United.
Ripoti zinasema, usajili wa Mata uliogharimu United pauni milioni 37, uliimarisha nafasi ya Chelsea ya kumnunua Salah ambaye atakuwa mchezaji wao wa tatu, kusajiliwa mwezi huu baada ya Nemanja Matic na Betrand Traore.
Kusajiliwa kwake sasa kutampa kocha wa Chelsea, Jose Mourinho, nafasi zaidi ya mashambulizi baada ya De Bruyne kusajiliwa na klabu ya Wolfburg kwa mkopo.
Salah ambaye anaweza kucheza katika nafasi tofauti za mashambulizi, amekuwa akitafutwa na vilabu kadhaa, baada ya kuonyesha mchezo safi wakati wa mechi zao za ligi ya Uropa msimu uliopita na pia michuano ya kuwania kombe la klabu bingwa barani Ulaya msimu huu.

0 comments:

Nicolas Anelka Matatani

Mchezaji wa soka wa timu ya taifa ya Ufaransa, Nicolas Anelka, anayeichezea klabu ya Westbrom amekanusha madai ya kufanya ishara inayoaminika kuwa ya kibaguzi dhidi ya Wayahudi.
Anelka amesema atapinga vikali mashtaka dhidi yake ambayo huenda yakasababisha kupigwa marufuku ya kutoshiriki katika mechi yoyote ya soka ikiwa atapatikana na hatia.
Anelka, mwenye umri wa miaka 34, ameshutumiwa vikali kwa kufanya ishara hiyo, ambayo ilipigiwa debe sana na msanii wa Ufaransa Diedonne M'bala M'bala, ishara ambayo ilitajwa na wakosoaji kuwa ishara ya utawala wa Kinazi.
Mshambuliaji huyo wa Westbrom, amesema atapinga mashtaka hayo yaliyowasilishwa na Shirikisho la mchezo wa soka nchini Uingereza.
Ikiwa atapatikana na hatia Anelka huenda akakabidhiwa adhabu ya kutoshirika katika mechi tano mfululizo.
Klabu ya Westbrom halijasema lolote kuhusiana na mashtaka hayo ya FA, lakini imekariri kuwa Anelka ataendelea kuichezea klabu hiyo hadi kesi hiyo itakapoamuliwa.

0 comments:




0 comments:

KING MAKAVELI



0 comments:

Kanye West Reportedly Inspires New Religion ‘Yeezianity’

Kanye West – Rolling Stone cover (Feb. 9, 2006)
*The Kanye West news just gets more bizarre by the day.
Less than 24 hours after news of the rapper’s intent to sue the folks behind the digital currency “coinye west,” it’s being reported that a new “religion” has sprung up called Yeezianity, in which followers believe “that the one who calls himself Yeezus is a divine being who has been sent by God to usher in a New Age of humanity,” according to the official website.
Noisey has an in-depth interview with the founder of Yeezianity, who explains that to become a member, one simply has to believe in a few key principles that the group calls the “5 Pillars”:
1. All things created must be for the good of all.
2. No human being’s right to express themselves must ever be repressed.
3. Money is unnecessary except as a means of exchange.
4. Man possesses the power to create everything he wants and needs.
5. All human suffering exists to stimulate the creative powers of Man.
The group’s founder, who has chosen to remain anonymous and created Yeezianity about a month ago, claims the religion is real.
“In a lot of ways, after I created it, I reflected on it and thought that this was just a rehashing of Christianity, but just throwing Yeezus instead of Jesus,” he explained to Noisey. “And you know what? That’s why I felt Kanye did it. He just put the name there. Jesus has all this baggage and all these connotations, and Yeezus is this new thing — and that’s why I say in the ‘Our Savior’ part of the site, ‘We don’t speak of his public persona.’ Because Yeezus is when Kanye elevates to that God-level, which I feel like we all have the potential to do. That’s why if it takes off, in the future, people would forget Kanye and his antics, and instead focus on what the message is.”

0 comments:

Snoop Dogg Wins Visa Battle in Australia Despite Petition


*Snoop Dogg has been granted an Australian work visa, despite an effort by a women’s group to keep him out.
Thousands of Australians signed a petition calling for officials to revoke the rapper’s visa ahead of his upcoming tour, which begins in Brisbane on Saturday (Jan. 18) and includes a set at the Big Day Out festival.
The activists, led by feminist Talitha Stone, claimed Snoop’s lyrics “glorify violence against women which puts all women in danger.”
Stone added, “There should be no place for recording artists who glorify misogyny and degrade women for entertainment”.
But her bid to ban the rapper from Australia has fallen through and Snoop has been granted a work visa, allowing his tour to go ahead. Immigration minister Scott Morrison announced the news on Wednesday, declaring, “Snoop Dogg has a visa.”

0 comments:

WACHINA KUJENGA UPYA TITANIC




Nchi ya China ni Nchi inayoonekana kuwa na Wakazi wanaopendela ujenzi wa majengo makubwa ya kihistoria na magari kadhaa yenye muonekano wa alama ya uchina kama ishara ya kuonyesha ufanisi wao katika uvumbuzi wa vitu mbalimbali hapa duniani.
Kwa sasa China tunaweza kuwazungumzia kivingine katika jamii yetu  kwani mara kwa mara wameonekana ni watu wanaofanya vitu vikubwa sana na kwa sasa wachina wameamua kutengeneza meli kubwa kwa mfano wa meli maarufu ya Titanic.
Kwenye kumbukumbu Meli ya Titanic iliyozama mwaka 1914 karibu karne moja iliyopita na kuua watu waliokadiriwa kuwa karibu elfu moja,sasa kampuni kutoka uchina ya Star Investment Group katika mkoa wa Sichuan imesema itatumia dola za kimarekani milioni 165 katika kuijenga upya mpaka kuikamilisha meli hiyo yenye mfano wa Titanic.




Meli hiyo mpya ya wachina ambayo itafanana kabisa na meli ya Titanic iliyozama kwenye kina cha bahari karne moja iliyopita,Meli hiyo itajengwa kwa ushirikiano na kampuni ya serikali ya China Ship Building Corporation ya Wuchang inatumika kama sehemu ya hifadhi ya makumbusho katika mkoa wa Sichuan.
Katika meli hii ya Replica ni ishara ya uvumbuzi uliopita kikomo kutoka kwa wachina na wanategemea kuingiza mamilioni ya fedha kama riba kutokana na alama ya Titanic duniani







0 comments:

LIL WAYNE

Rapper If New Orleans–born original Hot Boy Lil Wayne (Dwayne Carter) calls himself the best rapper alive, you can’t blame him. Signed to Cash Money Records at the age of nine, he’s put in more work than most rappers could ever imagine. Weezy has collaborated with everybody from Destiny’s Child to Gym Class Heroes. Known for his furious work ethic, Wayne has churned out dozens of mixtapes that help him build a loyal fanbase. The prolific platinum-selling MC proved his mettle on his sixth solo album, The Carter III, which sold over a million copies in one week and won a 2009 Grammy Award for Best Rap Album. Since then Wayne launched the Young Money movement, championing new talents like Drake and Nicki Minaj. He also released his 10th studio LP this past March, and made headlines after being dropped from an endorsement deal with Mountain Dew for referencing civil rights figure Emmett Till in Future’s “Karate Chop (remix).”

0 comments:

Find us on facebook